• Careers
  • Contact
Home
  • Home
  • About us
    • History
    • Mission / Vision and Values
    • Board of Directors
    • Cachement Committee
    • Management
    • Organisation Structure
    • WRBWB Functions
    • Section/ Unit
      • Administration
      • Community Development
      • Head of Water Resources Assessment & Monitoring
      • Water Monitoring
      • Water Planning
      • Water Protection
  • Projects
    • Completed Projects
    • Ongoing Projects
  • Media Centre
    • News and Events
    • Photos
    • Videos
    • Announcements
    • Press Releases
  • Resources
    • Application Forms
    • Reports
    • Brochures
    • Policies & Act
    • Regulations
  • Contact us
  • Waziri wa Maji, Mh. Jumaa Aweso akishirikiana na viongozi wa Bodi ya Bonde la Wami/Ruvu kusafisha mto ili kuruhusu maji kupita kwa urahisi ili kuingia kwenye mto Ruvu na kupunguza makala ya mgao wa maji kwa wakazi wa Pwani na Dar es Salaam.
  • Afisa Maji, Halima Faraji akitazama jinsi maji yalivyopungua katika Mto Ruvu kutokana na kukauka maji.
  • Bodi ya Maji Bonde la Wami Ruvu imekabidhi Ofisi ya Jumuiya ya Watumia Maji katika Bonde dogo la Tami/Msowero wilayani Kilosa Mkoa wa Morogoro.
  • Waziri wa Maji, Jumaa Aweso, akizungumza na Kaimu Mkurugenzi wa Bodi ya Maji Bonde la Wami Ruvu Mhandisi Elibariki Mmasi baada ya kutembelea banda la bodi hiyo Jijini Dodoma katika maadhimisho ya Wiki ya Mazingira Duniani.
  • Wanafunzi Wa Chuo Cha Mipango Na Cbe Tawi La Dodoma, Wakipewa Elimu Kuhusu Shughuli Mbalimbali Zinazofanywa Na Bodi Ya Maji Bonde La Wami Ruvu Na Mhandisi John Kassambili.
Application Forms
Act & Policies
Regulations
Reports

Who We Are

Wami/Ruvu Basin is one of the nine River and Lake Basins of Tanzania established under Water Act No. 42 of 1974 of Water Utilization (Control and Regulations) with its amendments No. 10 of 1981. The newly established Water Resources Management Act Number 11 of 2009 repeals the fore mentioned Acts. The basin was established in July 2002, and it operates under the Wami/Ruvu Basin Water Board and the overall in charge is the Water Officer who is also the secretary of the Board.
  • Vision
    Basin water resources sustainably managed for the socio-economic and environmental needs, interests, and priorities of the basin population.
  • Mission
    To facilitate efficiently and effectively the implementation of Integrated Water Resources Management in order to address the resource needs, interests and priorities of the Basin population while protecting and conserving the water resources.

News & Events

  • Tahadhari kupungua kina cha Maji Mto Ruvu
  • Serikali yapigia chapuo dhana ya utunzaji shirikishi rasilimali za maji
  • Aweso atembelea banda la Bodi ya Maji Bonde la Wami Ruvu
  • Dkt. Mpango afunga Wiki ya Mazingira Duniani, Bodi ya Maji Bonde la Wami Ruvu yatoa elimu
  • Jafo apongeza takwimu zinazotolewa na Bodi ya Maji Bonde la Wami Ruvu
  • Bodi ya Maji Bonde la Wami- Ruvu yatoa elimu ada matumizi ya maji Morogoro
  • Bodi ya Wami/Ruvu yawawezesha mashine ya matofali Jumuiya ya Mgeta Juu A
  • Ufaransa yaipatia Tanzania Bil 175.6 za miradi ya maji, upanuzi bwawa la mindu
  • Marufuku kuchimba mchanga Mto Tegeta- Ngonyani

Photo Gallery

Waziri wa Maji, Mh. Jumaa Aweso na Kaimu Afisa Maji Bodi ya Bonde la Wami/Ruvu, pamoja na viongozi mbalimbali wa Mkoa wa Morogoro wamefanya ziara ya kutembelea vyanzo vya maji.
View Gallery
Bodi ya Bonde la Wami Ruvu imefanya ukaguzi wa njia ya maji yanayoingia Mto Ruvu kufuatia agizo la Mh. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kufatilia njia hizo ili kupunguza makali ya mgao wa maji.
View Gallery
Uhaba wa maji huenda ukaikumba miji ya Dar es Salaam na Pwani katika kipindi cha miezi miwili ijayo, ambapo kujitokeza kwa changamoto hiyo ni baada ya kupungua kwa kina cha maji katika mto Ruvu ambao unasambaza maji kwa Wananchi wa mikoa hiyo miwili.
View Gallery
BODI YA MAJI BONDE LA WAMI RUVU YAWAKUTANISHA WADAU WA MAJI KUJADILI MATUMZI SAHIHI YA MAJI
View Gallery
Bodi ya Maji Bonde la Wami Ruvu imekabidhi Ofisi ya Jumuiya ya Watumia Maji katika Bonde dogo la Tami/Msowero wilayani Kilosa Mkoa wa Morogoro.
View Gallery
Mkurugenzi wa Rasilimali za maji kutoka Wizara ya Maji, Dkt George Lugomela ametembelea Banda la Bodi ya Maji Bonde la Wami Ruvu.
View Gallery
Kaimu Mkurugenzi wa Bodi ya Maji Bonde la Wami Ruvu Mhandisi Elibariki Mmasi aliyesimama wa Pili (Kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Baadhi ya Watumishi wa Bodi ya Maji Bonde la Wami Ruvu, katika Maonesho ya Wiki ya Mazingira Mjini Dodoma.
View Gallery
Wanafunzi wa Chuo cha Mipango na cha Elimu ya Biashara CBE tawi la Dodoma, wakipewa Elimu kuhusu shughuli mbalimbali zinazofanywa na Bodi ya Maji Bonde la Wami Ruvu na Mhandisi John Kassambili.
View Gallery

Projects

We engage donors, sponsors and other stakeholders to join us in improving the well-being of children and communities.
  • Mradi wa kunusuru vyanzo vya maji kupitia matumizi bora ya ardhi
  • Mradi wa ujenzi wa Majosho ya mifugo

Get to Know Us

  • Board of Directors
  • Management Team
  • Our Partners

What’s New

  • News and Events
  • Photos
  • Videos

Useful Links

WARIDI
Ministry of Water
DAWASA

Connect

  • Sitemap
  • Contact us

© Wami Ruvu Water Board. All Right Reserved.