KAZI ZA JUMUIYA ZA WATUMIA MAJI

  • Kuhifadhi, kulinda na kusimamia vyanzo vyote vya maji kama mito, visima, mabwawa, maji ya bomba, chemchemi na mazingira kwa ujumla katika eneo la Jumuiya.
  • Kusimamia na kufuatilia matumizi ya maji yaliyoidhinishwa na Bodi ya Maji ya Bonde la Wami/RuvuĀ 
  • Kutatua migogoro ya matumizi ya maji
  • Kukusanya ada za matumizi ya maji kwa niaba ya Bodi