• Kuandaa mipango ya usimamizi wa maji, bajeti na mikakati ya utekelezaji.
  • Kuzuia uchafuzi na uharibifu wa vyanzo vya maji.
  • Kuandaa taarifa za hali halisi ya maji.
  • Kutatua migogoro ya maji.
  • Kuhamasisha /kutoa elimu juu ya usimamizi wa pamoja wa rasilimali maji.
  • Kuidhinisha /kufuta vibali vya matumizi ya maji na utupaji majitaka.