Dkt Mpango anahudhuria kilele cha Wiki ya mazingira Duniani, ambapo Bodi ya maji katika Bonde la Wami Ruvu inashiriki kwa lengo la kutoa Elimu kwa Wananchi kuhusiana na majukumu yake na umuhimu wa kutunza na kuhifadhi vyanzo vya maji kwenye Visima, mito na mabwawa.